2 Kings 23:31

Yehoahazi Mfalme Wa Yuda

(2 Nyakati 36:2-4)

31 aYehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miezi mitatu. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia kutoka Libna.
Copyright information for SwhNEN